OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
jamani ndugu zanguni namsapoti aliyeanzisha maada kwani lema inatakiwa apumzkie kwanza kwani tukimsimamisha lema ccm watamuwekea pingamizi na tutalipoteza jimbo mazima,sasa basi naunga mkono hoja kuwa either dr slaa au mwigamba asimame kugombea ubunge arusha mjini kwa tiketi ya CHADEMA