ABRAHAM LINCOLN
Member
- Dec 23, 2011
- 28
- 10
Docta njoooooo Arusha tukupe ubungeee, wewe ndiye mbunge mtarajawa,tunakupenda,pamabana baba.
Docta njoooooo Arusha tukupe ubungeee, wewe ndiye mbunge mtarajawa,tunakupenda,pamabana baba.
NO! Lema achukue tena ili CCM wafe na presha. Dr tumnamweka mpaka 2015 awe Presidaa wetu
gamba hili linajitokeza!!!Docta njoooooo Arusha tukupe ubungeee, wewe ndiye mbunge mtarajawa,tunakupenda,pamabana baba.
Ni kweli Lema amezuiwa asijihusishe na sias kwa miaka mitano? tupeni taarifa hizo jamani. Nani yupo arusha?
Siasa zinatumaliza kiuchumi watanzania jamani!Chonde chonde Lema kata rufaa uokoe mabilioni ya walipa kodi!Hebu angalieni matatizo yalivyotuzunguka jamani,umeme,maji,huduma za afya mbovu!CDM ni chama kinachojali matatizo ya wananchi pls tuoneeni huruma walalahoi!!
Acha bangi na ukome kumdhalilisha Rais wa Watanzania.Docta njoooooo Arusha tukupe ubungeee, wewe ndiye mbunge mtarajawa,tunakupenda,pamabana baba.
Siasa zinatumaliza kiuchumi watanzania jamani!Chonde chonde Lema kata rufaa uokoe mabilioni ya walipa kodi!Hebu angalieni matatizo yalivyotuzunguka jamani,umeme,maji,huduma za afya mbovu!CDM ni chama kinachojali matatizo ya wananchi pls tuoneeni huruma walalahoi!!
tunataka jembe LEMA tena liludi cc CDM hatuogopi uchaguzi tutaingia na Mungu tutashinda na Mungu.
Docta njoooooo Arusha tukupe ubungeee, wewe ndiye mbunge mtarajawa,tunakupenda,pamabana baba.