Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Huyu Mchungaji anankweza kutokana na jazba, badala ya kuwaelekeza wakereketwa yeye linafoka na hili jisura lake ananikumbusha lile linguruwe la last week kwenye part.
Huyu mchungaji ni hatari sana hapa tanzania, angelikuwepo wakati wa Nyerere angehamishiwa nchi, linaeneza udini na ukabila.
Pumba!