Nakusikitikia sana Sijui ni Mr/Maddam Kishongo kwa mada yako uliyoweka hapa! Kwa kweli nimejaribu kuitafakari nikujibu nini nmekosa jibu! Tafadhali tafuta mada nyingeni uje nayo hapa. Kwa kifupi tu Dr.Slaa ni katibu wa Chama cha Chadema na ndio wathifa alio nao na ataendelea kuwa nao! Karibu sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.