Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.
Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?
1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika wayalipue bungeni?
2. Atamsaidia aliyetarajiwa kuwa first lady kuendeleza NGO yake?
3. Atarudi church?
4. Atasubiri mbunge aenguliwe na mahakama au afariki (Mungu aepushie mbali) ili agombee?
5. Atarudi kulima vitunguu Karatu?
Tafadhali tujadili ,,, bila matusi!!!.
1. Ana kazi nyingi za kufanya hakuingia kwenye siasa kama mwenye njaa ila aliingia kwa dhamira moja ya kuwakomboa watanzania wote na hali mbaya waliyonayo,
2. atamwacha 1st lady aendeleze NGO yake atamuoa mama yako kama anaqualification za kutosha,
3. Kanisani ni sehemu ya kuabudu Mungu so anaoption ya kwenda kanisani au msikitini
4. Hana haya ya kusubiri shekhe mfuga majini kufa na muanguka majukwaani kila siku ili apate cha kufanya
5 kilimo ni sehemu ya kazi zinazoheshimika kimataifa sio kama wakulima wenu wa KILIMO KWANZA ya kisanii mloipeleka kwa ajili ya kuibia kura za wanachi wazalendo walioamua kuwachagua viongozi wao ila hamtaki kukubali ukweli
Yes tunaweza kujadili bila matusi .. now ans my question, Nina deal la kupeleka mashoka waliobobea kama wewe kwa waarabu vipi nikupeleke? :A S angry: