Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,346
- 6,469
Hivi Shimbo alikwisha tupa maelezo kwa nini watu wa mashariki ya mbali wamekuwa wakivua samaki aina ya 'tuna' kwa wakati wote huo bila kukamatwa mpaka Dr. Maghufuli alipoweka mkakati na kuomba msaada Afrika Kusini na kukamata ile misamaki mingi? JWTZ kitengo cha navy walikuwa wapi miaka yote hiyo?