Hivi huyu mzee ameshawahi kufanya hata safari moja kwenda ughaibuni ukiachilia Italia ambako alipatia upadri? Maana kila siku namsikia yupo hapahapa tu Bongoland. Unajua waswahili husema tembea uone.
Vipi umemwona na suti mpya?
Hivi huyu mzee ameshawahi kufanya hata safari moja kwenda ughaibuni ukiachilia Italia ambako alipatia upadri? Maana kila siku namsikia yupo hapahapa tu Bongoland. Unajua waswahili husema tembea uone.
mkuu kuna tetesi eti yule dingi yako mamako alidanganyia mimba,nasikia babako anatoka kile kijiji cha pili,au nipasue pwaa??
Pasua bana anaweza akawa Nepi mwingine huyu ndiyo maana anasidiwa teh!! teh!!...................... tena limemgusa hasa
<br />mkuu kuna tetesi eti yule dingi yako mamako alidanganyia mimba,nasikia babako anatoka kile kijiji cha pili,au nipasue pwaa??
<br />aisee!mkuu yule babako uliyemwacha kijijini alishafika kwenye kale katown kenu au anafia kule kwa dengerua?
''Da! Kweli,tembea uone mwanaume akinunuliwa suti na kulipiwa chumba na mwarabu''
<br />huyu ni bwana mdogo sana,kaingia town na kujikuta mikononi mwa baadhi ya magamba,anatetea asichokijua,naijua familia yao na najua anakotoka,kama anabisha ajitokeze sasa hivi nipasue kila kitu nimwache uchi wa mnyama
<br />Hivi huyu mzee ameshawahi kufanya hata safari moja kwenda ughaibuni ukiachilia Italia ambako alipatia upadri? Maana kila siku namsikia yupo hapahapa tu Bongoland. Unajua waswahili husema tembea uone.