The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,392
- 12,976
wakuu tuwe sirias jamani
we have bigger problems kama njaa, afya, vifo vya wazazi, elimu, barabara nk.
i advice Dr. Slaa to remain focused kuliko kuanza kwenda mrama... you are missing your target by allowing to be carried aways that easily
Mzee usiwe rahisi kudanganyika na hicho kichwa cha habari. Dr. Silaa alichokuwa anafanya ni kuwambia kuwa ule utumwa tulionao ndani ya CCM hautakuwepo tena wakati wake. Hii ina maana hulazimishwi kubeba bendera, kufunga biashar au kuacha masomo kwa sababu ya CCM. Imagine CCM mpaka wamelazimisha vyuo vyetu vikuu visifunguliwe kwa wakati wake!!!