Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,113
- 10,820
- Thread starter
- #21
Jamani mbona Makamba aliyebaka mtoto wa shule hajapigwa mawe!! Na kuna mhuni na mzinzi kuliko JK??
Wewe mwenyewe waonekana ni kiwembe; achana na mambo yasiyokuhusu.Sharia unayoisema ingemhukumu Makamba na JK kwani wao hiyo sharia inawahusu kulingana na imani ya dini yao.
Unajua kuna tofauti kati ya Makamba,JK na Slaa.Hao wawili hakujakuwa na mashtaka dhidi yao.Ni wewe tu ndiye unayesema.Lakini huyu bwana mashtaka yake yako kwa hakimu na bado kesi haijaisha.Halafu uchaguzi umekaribia.Nimesema inaweza kutokea bahati mbaya akachaguliwa.Itakuwaje?.