Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Alafu Chadema wote mnafanana akili. Kama vile babu wa babu zenu alikuwa mmoja na alikufa kwa kifafa!
MTAJI WA KURA WA CCM NI MASKINI WAJINGA ,wasomi wajinga na MAFISADI...........................................kuna kazi ngumu ya kuwaelimisha hasa maskini wajinga ....na kuwafunga mafisadi...ili kuleta ukombozi...
MTAJI wa kura wa wapinzani ni maskini werevu,na wasomi....bahati mbaya ni wachache....kazi ni kubwa!!
sasa sijui sijui wewe kanyafu ..upo kundi gani!!