wewe ni muhuni? Kwa namna ya usawa dk slaa na dk kikwete wanatakiwa wajadiliwe kwa hoja au ndio kweli jf imevamiwa. Kuipenda kwako chadema au dk slaa kusiwazuie watu wasitoe madukuduku yao, tuambie basi kama haiko hivyo ikoje, hata mimi sielewi yaliyotokea kwa rose kamili mke wa kwanza wa dk slaa ambaye ni mkatoliki. Nijuavyo ndoa ya mke mmoja haiwezi kuongezewa mke mwingine, mushumbusi siioni ndoa yake itafanyika wapi. Maisha binafsi ya atakayekuwa kiongozi mkuu nchi kama yeye ni lazima tuyajue kwa uzuri. Tanzania ni nchi yetu sote: Si ya chadema wala ccm, si ya waislamu pekee wala wakristu vinginevyo jamii forum ibaki kuwa ya chadema tu. Mwe!
huyu dr kikwete ulimpa phd wewe? Acha ujuha wako, ficha aibu zako usiwe mjinga kiasi hiki. Na alikuambia kuwa dr. Slaa aliwahi kuoa ni nani? Kanisa katoliki halikuwahi kuondoa sakramenti yake ya upadri, sasa kanisa linaandaa kumfungisha ndoa na mchumba wake mushumbushi, kasome hizo taratibu acha kuhehuka na ccm na huyu daktari wako feki kikwete