mkuu wanatunduma huwambii chochote kuhusu slaa hivyo wanaona akija mheshimiwa kila kitu kitakua sawa na itawapunguzia na msongo wa mawazo juu ya ccm. Hayo ni mawazo ya wanatunduma kwenye mitaa mbalimbaliWeka nyama kwenye habari basi, nani amesema hivyo na wazo hilo limepitishwa na kukubaliwa na akina nani huko Tunduma?
ni baada ya makamu wa rais kushindwa kueleweka kwa wanatunduma
mkuu najaribu na kamchina kangu lakin nashindwa labda wapo wadau wengine wataleta
mkuu mimi huko mgeni