wee mama isaac naheshimu mawazo yako na siungi mkono ualifu ndio maana hata hili gazeti ninalipinga habari zake nyingi "tortorious"ingekuwa ulaya angekuwa analipa watu fidia kila siku.lakini akinamama najua ndio wateja wakuu wa hayo magazeti sijui kwanini.kwa hiyo kama ameandika 'in god we trust' akiona uovu kwnye jamii acseme?we naye??
kumbe gazeti la udaku
huyo padri ni kiwembe mno, ila mleta mada ana ajenda kubwa na waktristu na hajaanza leo
laana'kum!
Mkuu mbona tena unanilani? Nimekukosea kitu gani tena? mimi sina Ajenda yoyote ile na wakristo wala Waislam mimi nime kopi na Ko Paste sasa kama wewe unanilani wewe na Mungu wako. Mwenyeezi Mungu akusamehe kwa sababu unachosema hukujuwi ndio maana yake.huyo padri ni kiwembe mno, ila mleta mada ana ajenda kubwa na waktristu na hajaanza leo
laana'kum!
Unachagua Magazeti wewe kwani hilo silo gazete la Ki Tanganyika?Mwanzoni nilikuwa sijajua ni gazeti gani baada ya kulifahamu sina swali!!!!!!
bro hayo ni kweli kabisa kwani kuna dini inaruhusu wanaume kuoa wake 4 lakini matukio kama hayo bado yanatokea.huyu shigongo namshangaa mno kwa maneno hayo ya mungu kenye ukurara wa juu lakini ndani yamejaa matusi,picha za ajabu ajabu ambazo hazitakiwi kuonyeshwa kwenye public na media anbayo wasomaji wake wengi ni vijana wadogo kutokana na zile hadithi anazoziandika.hivi hawa baraza la habari huwa hawamuoni? Hivi na yeye ni mkristo?"skendo ya ngono inaitikisa kanisa la katoliki"
shigongo ni mtu hatari sana kwa propaganda za madhehebu ya kikristo yaliyotafauti na dhehebu lake na hata mama rwakatare alisikika akisema kwenye zile clips za kakobe kuwa anaprotection ya shigongo gp. Hili ni tukio la padre mmoja na huyo maria amabaye hana wadhifa wowote ule kanisani (yeye amesema "viongozi wa kanisa hilo walifikia hatua ya kutafuta jinsi ya kumficha mtoto huyo") lakini yeye amelifanya la kanisa zima na kuongeza manenno yake ya kipuuz.i kwenye huo anaouita waraka
shigongo pesa haitafutwi namna hiyo ndugu yangu
Kama ni kweli, huyo padri anastahili adhabu kali kabisa hawezi kuvunja nadhiri na kiapo alicho apa kwa Mwenyezi Mungu! wakti wa upadrisho, kanisa katoliki halikubaliani na kitu kama hicho, hiyo ni tamaa yake binafsi
Kanisa takatifu huzalisha waumini watakatifu waisotenda dhambi maana MUNGU wao wanayemwabudu ni Mtakatifu. Na wanafahamu fika uwa dhambi zao zilibebwa na BWANA YESU pale msalabani. Yaani si waasherati, si wazinzi, si waongo, si walevi, si wala rushwa, si wachawi, si waenda kwa wanganga, si mafisadi, hawafungishi ndoa wadada wenye mimba, n.k. Lipime kanisa katoliki katika haya kisha utapata jibu.
Kwani hawa mapadre si waoe jamani ... watapiga puchu na kubaka waumini hadi lini; ile kitu ukii halalisha kwa ndoa ina raha yake bana. Na wanajua wanachokimiss. Ndo mana Dr sl.. aliingia mitini huko now anakula ngozi kama kawa tu.
All I know is.... Message sent!Mkuu mbona tena unanilani? Nimekukosea kitu gani tena? mimi sina Ajenda yoyote ile na wakristo wala Waislam mimi nime kopi na Ko Paste sasa kama wewe unanilani wewe na Mungu wako. Mwenyeezi Mungu akusamehe kwa sababu unachosema hukujuwi ndio maana yake.