BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Kutokana na taarifa za awali za msanii huyu kwamba aliachana na mumewe na sababu alizokuwa ameziweka hadharani kwamba alikuwa hampendi, kuna mwingine anampenda zaidi etc etc etc. Lakini baada ya siku chache tukasikia tena wamerudiana.
Nilikuwa napiga story na wife kuhusu maneno ya awali ya huyo msanii. na ndipo mi nikamwambia ningekuwa ni mimi huyo asingerudi na wala hata nisingetaka kumuona. Ndoa ndio ingekuwa basi. Ningemchukia zaidi kwa kunidhalilisha kuliko hata wale ambao nilikuwa nawachukia etc etc etc. Ndipo wife akaniambia ina mana ningekuwa mimi (yeye) ningemfanyia hivyo!, mi nikamjibu kwa jibu rahisi tu kwamba ndio manake. Tangu hapo naona amenisusia, najitahidi kumbeleza lakini ndio ameona kama vile simpendi. Imeshakuwa ni kususiana tu.
Katika hali kama hii kosa langu lipo wapi. Mimi ndio ungekuwa msimamo wangu huo, nisingeweza kumwambia uongo na hata hivyo ilikuwa tunapiga story tu.
Au ningemdanganya tu kumridhisha!!. Lipi sahihi!!.
Nilikuwa napiga story na wife kuhusu maneno ya awali ya huyo msanii. na ndipo mi nikamwambia ningekuwa ni mimi huyo asingerudi na wala hata nisingetaka kumuona. Ndoa ndio ingekuwa basi. Ningemchukia zaidi kwa kunidhalilisha kuliko hata wale ambao nilikuwa nawachukia etc etc etc. Ndipo wife akaniambia ina mana ningekuwa mimi (yeye) ningemfanyia hivyo!, mi nikamjibu kwa jibu rahisi tu kwamba ndio manake. Tangu hapo naona amenisusia, najitahidi kumbeleza lakini ndio ameona kama vile simpendi. Imeshakuwa ni kususiana tu.
Katika hali kama hii kosa langu lipo wapi. Mimi ndio ungekuwa msimamo wangu huo, nisingeweza kumwambia uongo na hata hivyo ilikuwa tunapiga story tu.
Au ningemdanganya tu kumridhisha!!. Lipi sahihi!!.