Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Khaaaaa!babu lzm hata km uko hm utakuwa na mizinga kadhaa za mikono juu kichwani!Aisee! Hapa unazungumzia kukojoa mkojo upi?
Kaunta ya juu leo week end huwa napanda saa moja jioni mpaka liamba....... yaani saa kumi na mbili nakuwa nailea mimba ya bibi yenu na kufungua njia then ndo naenda kaunta ya juu.
Kama hujaelewa uliza.........
Basi usiendelee kunielewesha nishakuelewa tayari lol!
Nahic nikiuliza tena pc inaweza kuzima gafla nikashindwa kujua uliandika nn!
Vp babu jpli utaenda kusali wapi?