BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
mie nimepata sahihi
sitini na ngap shem mkubwa??
mie nimepata sahihi
Na hilo jawabu lako ukitoa idadi ya post zako za hapa JF basi unapata tarehe uliojiunga JF.
( basi kuna mijinga itatoa kweli )
hehehe hapa lazima judgement ajivunie, kapata bonge la waifuhahahaha! Umenifanya niamke nitafute kalkuleta.
Nimecheka sana, very right.
hehehe hapa lazima judgement ajivunie, kapata bonge la waifu
Where hav u been? I miss u always.i mic u dear
Where hav u been? I miss u always.
haaa! Mbona mi napata 75,?!
we sema umeshindwa kalkuleshenKanuni yako ninaikataa moja kwa moja kwa sababu zifuatazo.
1. Kwanini ndani ya hiyo kanuni tunatoa mwaka wa kuzaliwa?
2. Kwa wale ambao wamezaliwa kwenye mwezi wa novemba na desemba hawawezi kupata jibu sahihi la umri wao.
teh teh teh mkuu sasa inakwaje ina mana tukianza mahesabu halafu ikaonekana unavaa size 47 je utaridhika
hehehe hapa lazima judgement ajivunie, kapata bonge la waifu