ZE DONE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 212
- 320
Wana CDM Tumeshinda Arumeru nimeandika kichwa cha habari hapo juu kwa maksudi maalumu ili tuweze kujua tatizo letu ni lipi. Hakuna kificho ukweli ni kwamba chadema ndio chama chenye wanachama wengi kuliko kingine chochote kile ila wenngi wetu tulikata tamaa na kuacha mambo yaende. Nataka kutoa somo hapa SOYOI amefikisha kura za BABA hii ina manisha nini? Ni kwamba ccm ina wapiga kura wa kudumu haina jipya ilihali wapiga kura wetu wamekata tamaaaaaa kabisa na sasa baadhi wanaamka na haya matokeo, na hii ni kwa sababu ya campaign kubwa zinazo fanyika HAPA ZINAFANYIKA SIO WAKATI MWAFAKA. WENGI HAWAKUJIANDIKISHA WANAVUTIKA NA SERA ZETU UWEZO WA KUPIGA KURA HAWANA. NASIKITIKA SANA KUONA TUNAJAZA SANA MASHABIKI KWENYE KAMPAIN ZETU "KURA HAZITOSHI".
NA HII INATOKANA NA KWAMBA WAKATI WA KUJIANDIKISHA HATUFANYI CAMPAIN KUBWA KAMA HIZI TUMEACHIA TUME IFANYE KAZI HII WAKATI WATU WETU NDO WAMEKATA TAMAA. ARUMERU NI JIBU LA HAYA CCM WAMEBAKI PALE PALE SS TUMEONGEZA MARA MBILI hii ina maanisha wote ambao hawakupiga kura 2010 ni wa kwetu na bado wengi sana hawaja piga.
MAPENDEKEZO:
1. Wakati wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura ifanyike campain ya nchi nzima watu wajiandikishe badala ya kuachia tume na kubakia kulaumu watu hawajitokezi.
2. Tuache dhan ya kwamba Vijana ndo mtaji wetu lakini hili linabadilika 2005 kweli walikua vijana hata mimi niikua na miaka 20 ila sasa ni watu wazima 2015 watakua wazee hivo nchi hii ni ya kwetu tunaona watoto wao wanaondoka
3. Campain zianze wakati wa kujiandikisha ili 2015 tunawahutubie watu wenye vitambulisho
4. Tume ya uchaguzi ndo kiini cha yote mengine tutaweza kuyabadilisha wenyewe tutakapo chukua nchi. 5. kusiwe na mkono wa Raisi na chama Tawala mara tu tume inapo wekwa madrakani iwe na imunity. Kila chama Kwa sasa Kina Wasomi wakubwa tu wanaoweza kufanya kazi za tume Kwa nini nako kusiwe na mchanganyiko Kama ilivyo pendekezwa kwenye Tume ya Mabadiliko Ya Katiba??
NIMEFURAHI ARUMERU ILA BADO WATU WETU WENGI HAWAJAPIGA KURA
NA HII INATOKANA NA KWAMBA WAKATI WA KUJIANDIKISHA HATUFANYI CAMPAIN KUBWA KAMA HIZI TUMEACHIA TUME IFANYE KAZI HII WAKATI WATU WETU NDO WAMEKATA TAMAA. ARUMERU NI JIBU LA HAYA CCM WAMEBAKI PALE PALE SS TUMEONGEZA MARA MBILI hii ina maanisha wote ambao hawakupiga kura 2010 ni wa kwetu na bado wengi sana hawaja piga.
MAPENDEKEZO:
1. Wakati wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura ifanyike campain ya nchi nzima watu wajiandikishe badala ya kuachia tume na kubakia kulaumu watu hawajitokezi.
2. Tuache dhan ya kwamba Vijana ndo mtaji wetu lakini hili linabadilika 2005 kweli walikua vijana hata mimi niikua na miaka 20 ila sasa ni watu wazima 2015 watakua wazee hivo nchi hii ni ya kwetu tunaona watoto wao wanaondoka
3. Campain zianze wakati wa kujiandikisha ili 2015 tunawahutubie watu wenye vitambulisho
4. Tume ya uchaguzi ndo kiini cha yote mengine tutaweza kuyabadilisha wenyewe tutakapo chukua nchi. 5. kusiwe na mkono wa Raisi na chama Tawala mara tu tume inapo wekwa madrakani iwe na imunity. Kila chama Kwa sasa Kina Wasomi wakubwa tu wanaoweza kufanya kazi za tume Kwa nini nako kusiwe na mchanganyiko Kama ilivyo pendekezwa kwenye Tume ya Mabadiliko Ya Katiba??
NIMEFURAHI ARUMERU ILA BADO WATU WETU WENGI HAWAJAPIGA KURA