JAPHET MAKUNGU
Member
- Feb 1, 2011
- 21
- 5
Watu wengi hurejea mikoa mingine ya Tanzania kama "mikoani", mathalani, mabasi yaendayo mikoani. Nadhani hii siyo lugha sahihi kwa sababu ina maanisha Dar es salaam ni Taifani. Unaposema mikoani kwani Dar es salaam siyo mkoa? Sema mikoa mingine inaleta maana nzuri zaidi.