theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
- Thread starter
- #21
yaani unapenda malumbano yasiyoisha ya kina jairo unakata hoja za kukuza kukuza uchumi.wewe ni hufai kuitwa mwanajf maana huna fukra pevu.hujui kuwa tz tumetumia miaka kama mitatu hivi kulumbana tu pasipo kuwa msingi wa hoja za maendeleo.sasa watu wanakuja na hoja za kututoa hapa tulipo wewe unaponda.kweli tz tunakaz ya kufanya
hizo hoja zimekuwepo na kama hatutapata katiba mpya iliyopatikana na mchakato sahihi, na kuondoa viongozi wezi madarakani itakuwa ni kazi bure kujadili hoja hata ziwe nzuri namna gani, maana hawa hawa tunaotarajia kutuongoza kutekeleza yale yanayojadiliwa katika hoja hizo ndiyo waliotufikisha hapa.
usichoke, na tusichoke kuwazonga hawa wezi wakubwa waliovaa ngozi ya uongozi na kukabidhiwa madaraka na katiba iliyochoka na kupitwa madaraka, hata iwe miaka kumi tukiwazonga vya kutosha, kila kona watasalimu amri