Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
naelewa mani lakini hata shling inapande mbili, tukiongelea pande moja tumnakosea au sio mwana,naelewa foleni saaaana make huku mashenzini napoishi loooooool natokaga hapa baracuda naenda segerea then ubungo.ila inabd sasa kina mama tuelewe miundombinu hakuna, inatubidi tukubaliane na hali iliypoFlora mleta mada hapa ameweka vitu viwili. Kuna hili la foleni sasa hata kama angekuwa anakwenda huko hospitali na hizi foleni zetu zisizo tabirika jibu sitakuwa hilo hilo!