Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Huyu jamaa alicheza fyongo mbaya sana,ila ni fundisho kwetu sisi. Nafikiri sasa hivi tekinologia imekuwa kubwa, kuliko kudhalilika, unaenda nairobi hapo wana mbegu wanatunza unachagua nani uzae nae kwa picha, wanakuinsert kuliko kwenda kufedheheka kiasi hicho.
TZ haijafika, ikifika wala hakuna nyumba watalia eti hatuna watoto though ukweli utabaki kuwa uliwekewa mbegu kuliko huyo anayeenda kufanya practical na mkeo live.
TZ haijafika, ikifika wala hakuna nyumba watalia eti hatuna watoto though ukweli utabaki kuwa uliwekewa mbegu kuliko huyo anayeenda kufanya practical na mkeo live.