Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
kumbe ndio hivi? kwa mtaji huu nimenyoosha mikono juu...
Gonga na senksi basiiii!
kumbe ndio hivi? kwa mtaji huu nimenyoosha mikono juu...
turudi jukwa la siasa hatari tupu
Gonga na senksi basiiii!
senkyu,
na nyingine nimeweka kule kitufeni, nilitaka kukuwekea mbili pale lakini katufe kamepotea..
Ambayo ni.....................................mimi msimamo ule ule!mke wangu anapaswa kulijua hilo kwamba:
KUFUA
KUTANDIKA KITANDA
USAFI
KUPIKA
AND ALL DAMN DOMESTIC JOBS NI ZAKE
mimi kama mwanaume nina majukumu yangu!kufanya kila jambo ni kunikosesha muda wa kupiga TASKA NA KUTENGENEZA MARAFIKI
-i am the making of the familyAmbayo ni.....................................
hebu orodhesha tafadhali.
-i am the making of the family
-everybody is counting on me(ki-afrika ndivyo ilivyo)
-i am the innovattor wa kilakitu
in short:MIMI NDIO INVIZIBO WA FAMILIA
-ban zote,
senksi zote mimi ndo namaliza
Ambayo ni.....................................
hebu orodhesha tafadhali.
Tuwe na utu jamani, wote mnaamka saa 11 na kwenda kazini na kurudi saa 12 jioni, hamna house girl wala mtoto kweli utashindwa kumsaidia mkeo kazi za nyumbani wakati naye pia anachoka na kuleta fungu nyumbani?
wewe ndo moderator wa familiaKwa niaba ya bwashee:
Mimi ni Chief Security Officer wa familia,
Mimi ni fundi mkuu wa nyumbani,
Mimi ni bodyguard wa familia,
Mimi ni msemaji wa familia,
Mimi ni refarii wa familia,
Mimi ni mwekezaji wa familia
Need I Say More?
In short you do nothing.. u r just a parasite lol!
Ingekuwa kabla ya kuoa/kuolewa inabidi u present CV yako ikionyesha qualifications na potentials you will bring to the family nadhani ingekuwa ngumu kama ngamia kupita tundu la sindano hahahahah!Im sure a gud number of wanaume wangekosa cha kujaza kwenye CV zao kama mambo yenyewe ndio haya.Umeelezea vizuri sana kazi unazodhani ur wife will do..lakini ukashindwa kabisa to hazard wewe utafanya/unafanya nini!
wewe ndo moderator wa familia
wewe ndo invizibo
wewe ndo lijendi wa familia
wewe ndo founder
Ndio maana muda mwingine access inakuwa denied maana mtu anajiona kama object na sio human being
I will appreciate if you will say some few apology words to my bwashee!! Am counting seven.......six.......
nimeona!You can say it again! Nimekugongea na kale kakitu ketu.
FIVE............four.............
ati appology?.... sasa ndugu..kama hiyo ndiyo resume ya bwashee wako..nami ndo niko kwenye panel ya kuevalute ulitegemea conclusion iweje?