Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
nakwambia Nyamayao, kuna wababa wengine ni balaa kana jehanam, mtoto mpaka anakua hajawahi kuogeshwa, kubadilishwa nepi wala kulishwa na baba yake, baba akiwa amempakata akilia tu anakabidhiwa kwa mama haraka sana,
ndio hapo sasa, laiti mtu ungejua kuanzia mwanzoni mbele uendako kuna nini nadhani mwanaume wa hivyo ucngemtaka, hata mwanae? hapana aise.