Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
Huu uislamu jamani...................ni dini ya chuki wakati wote..............ua wengi ndugu zako wapate faida kweli dini inafundisha na kuagiza watu kuua hovyo?...dunia bila uislamu ingekuwa salama sana
jile 79, Waisraeli ndio sababu ya problem hii si Uislamu, Waisraeli wanaendelea kujenga Makazi ya Walowezi huko West Bank! na wanaendelea kuitawala ardhi ya palestine kwa mabavu. hamna watu walaghai kama waisraeli, wanajifanya kama wao ndio wanaonewa kumbe wao ndio wakoloni.
kama kweli wanataka usalama wangetoka zamani katika inchi ya watu walio itawala kwa mabavu au wangewapa wapelestine uhuru wao.