Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Mara nyingi Hamas, kikundi cha wapiganaji wa Palestina, wamekuwa wakitaka washirikishwe kwenye mazungumzo ya amani na Israeli, lakini hawaitambui Israeli kama taifa halali! Juzi juzi wakati mazungumzo ya amani kati ya Mahamoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Palestina na Binyamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israeli yanaendelea, Hamas walirusha makombora ndani ya Israeli na Israeli wakajibu mashambulizi na kuua Wapalestina wawili!
Anyway, hawa Hamas wahusishweje kwenye mazungumzo ya amani wakati wanakataa kuitambua Israeli kama walivyofanya Jordan na Misri hata wakatiliana mikataba ya amani na Waisraeli?
Hawa jamaa kwa kweli hawaeleweki, ndio maana Waisraeli wanaendelea na kujenga Makazi ya Walowezi huko West Bank!
Saturday's violence came just two days after the start of Israeli-Palestinian peace talks [AFP] Source: Aljazeera.
Anyway, hawa Hamas wahusishweje kwenye mazungumzo ya amani wakati wanakataa kuitambua Israeli kama walivyofanya Jordan na Misri hata wakatiliana mikataba ya amani na Waisraeli?
Hawa jamaa kwa kweli hawaeleweki, ndio maana Waisraeli wanaendelea na kujenga Makazi ya Walowezi huko West Bank!
Saturday's violence came just two days after the start of Israeli-Palestinian peace talks [AFP] Source: Aljazeera.