Sisomeki
Senior Member
- Mar 5, 2012
- 166
- 49
Zitto kathubutu kaweza na kajaribu nadhani tumpe credit kwa kuonyesha WaTz kwamba inawezekana, cha kumulika sasa ni kuona reaction ya wanafiki kutoka CCM kwamba zile kelele walizopiga jana na leo ni kweli wanauchungu na wapiga kura wao?au ndio tia tia maji liende?