Ni kweli ni smart! Anakula na ananawa vizuri sana.Umenikuna kweli.........Mwandosya is very very smart! Tumekosa rais bora 2005.
Ni kweli ni smart! Anakula na ananawa vizuri sana.Umenikuna kweli.........Mwandosya is very very smart! Tumekosa rais bora 2005.
It is true ukiongeza na sera ya Chadema ya ufisadi ndiyo inayoisambaratisha CCM mapande mapande
alisema Waziri Simba."Niliusoma, niliridhika na muswada wa Sheria ya Baraza la Usalama wa Taifa, Siwezi kuleta kitu ambacho sijaridhika nacho,"
.""kuna tatizo sisi wahusika tuliliona, awali muswada huo haukupitia kamati husika ya Mambo ya nje Ulinzi na Usalama. Kuna tatizo... ofisi ya bunge, ilipaswa kuupeleka katika kamati hiyo ambayo ingepitia kwa pamoja na kamati ya bunge ya sheria na mambo ya katiba
i will be so puzzled, mwaka huu, huyu SS atakapo teuliwa kuwa waziri again.
Ofisi ya CAG inapofanya ukaguzi, wanaofika field ni wale watendaji wake wa chini. Lakini dhamana ya utoaji taarifa, kwamba ni nzuri au si nzuri hubakia mikononi mwake. Hata kama watendaji wengine wa serikali ndiyo walioandaa muswada, mtu mwenye dhamana ya kuwasilisha au kutokuwasilisha muswada ni waziri Sophia. Ni kweli amelikoroga, na alinyweeeeeeeeeeee!!!!!!!