Ndege ya Uchumi thnx for your analysis...it is simple and clear hata kwa mkulima kuelewa
Sitta ajitwika zigo la CCM Thursday, 16 September 2010 07:41
Samweli Sitta
Waandishi Wetu
Lakini jana, Sitta aliiambia Mwananchi kuwa yuko tayari kushiriki mdahalo na Dk Slaa baada ya katibu huyo mkuu wa Chadema kumshambulia kuwa ni mnafiki kutokana na kupinga sera ya chama hicho cha upinzani ya kutoa elimu bure kwa wote.
"Ningekuwa Dar ningeomba kufanya mdahalo na Dk Slaa ili aeleze hayo anayosema nami nifafanue. Bahati mbaya nipo kilomita takriban 1,000 kutoka Dar. Lakini, ili kuondoa ulaghai wake kwa wananchi nataka mdahalo na Dk Slaa; mimi ndiyo saizi yake si Kikwete. Kikwete amwache apige kampeni tu," alitamba Sitta.
Duh haya maneno ya dharau kubwa kwa Kikwete yaani hata Sitta anajua JK hamwezi Dr.Slaa ila yeye. Dr.Slaa umepewa silaha nyingine wamalize nayo wenyewe kwamba hata Sitta anakubali kwamba JK sii saizi yako..Ningekuwa Dar ningeomba kufanya mdahalo na Dk Slaa ili aeleze hayo anayosema nami nifafanue. Bahati mbaya nipo kilomita takriban 1,000 kutoka Dar. Lakini, ili kuondoa ulaghai wake kwa wananchi nataka mdahalo na Dk Slaa; mimi ndiyo saizi yake si Kikwete. Kikwete amwache apige kampeni tu," alitamba Sitta.