Jamani Benson Bana (Siwezi kumuita Dr maana ana mawazo mgando na njaa inamsumbua) ni lazima aseme hivyo anavyosema maana ni mchumia tumbo na anatumika na wanasiasa so ameashaamua kuichimbia elimu yake (ambayo nina shaka nayo) kwa manufaa ya mafisadi wa rasilimali za watanzania
Mimi inanishangaza sana huyu mwalimu huwa anawaambia nini wanafunzi wake darasani maana ni lazima kama mwalimu unachofundisha kiendane na ukweli wa unachokisema kwenye jamii otherwise ni mnafiki wa kutupwa
Mimi inanishangaza sana huyu mwalimu huwa anawaambia nini wanafunzi wake darasani maana ni lazima kama mwalimu unachofundisha kiendane na ukweli wa unachokisema kwenye jamii otherwise ni mnafiki wa kutupwa