fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Waziri wa EA wa Tz aling'aa sana tena kwa muda mfupi tu, nyota yake imezima ghafla kwa mbinu na njama za mafsadi.
Kosa la Sitta ni nini ktk siasa za TZ na uchumi wa TZ??
1. Kusema ukweli nusu nusu (kuilinda serikali dhaifu)
2. Kutosoma alama za nyakati, alipaswa awe nje ya ccm siku nyingi sana
3. Baadhi ya maadui wa nchi kuwa ni maadui zake ndani ya chama
4. kumrudishia Dr. Slaa nyaraka zake za mafisadi wakati akiwa spika, sijui kama siasa ya TZ itamsamehe haraka
5. Kukubali Uwaziri ili hali rais hamtaki, (rais ndo alitia saini zengwe la spika awe lady), kushindwa pia kupima mambo
6.
7.
8.
9
10.
Kosa la Sitta ni nini ktk siasa za TZ na uchumi wa TZ??
1. Kusema ukweli nusu nusu (kuilinda serikali dhaifu)
2. Kutosoma alama za nyakati, alipaswa awe nje ya ccm siku nyingi sana
3. Baadhi ya maadui wa nchi kuwa ni maadui zake ndani ya chama
4. kumrudishia Dr. Slaa nyaraka zake za mafisadi wakati akiwa spika, sijui kama siasa ya TZ itamsamehe haraka
5. Kukubali Uwaziri ili hali rais hamtaki, (rais ndo alitia saini zengwe la spika awe lady), kushindwa pia kupima mambo
6.
7.
8.
9
10.