Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Huyu mzee mi huwa namfananisha na kaa, yule mdudu huwa anatembea direction yoyote ile kutegemeana na wapi anakotaka kwenda, leo utamsikia akiitetea serikali kuwa imefanya mambo makubawa wanaoisema wanachuki binafsi na serikali ya ccm, kesho utamsikia akiiponda serikali kuwa inafanya madudu, mi huwa simuelewi huyu mzee anamaana gani kufanya hivi