Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Hana shida ya kujihangaisha, alishaanzisha CCJSitta tayari ameshajitengenezea mazingira ya kuhama CCM and the most likely destination ni CDM...
Hana shida ya kujihangaisha, alishaanzisha CCJSitta tayari ameshajitengenezea mazingira ya kuhama CCM and the most likely destination ni CDM...
Ridhiwani anamtaka nani?... Magufuli ambaye sio changuo la JK na Ridhwani.
Ninanchonpendea Sita ni kusema bila kuogopa,hawa akina Sita ndio wale vijana machachali wa mwanzoni kusomea sheria chuo kikuu ,wanasheria hao kama akina marehemu Kolimba,Warioba ni tofauti na wanasheria wa kizazi hiki cha wanasheria wapenda njuruku ambao wako tayari hata kuuza nchi na kuwapa mateso wananchi wao kwa kuandika hiyo mikata ya kiufisadi.Sita ni jembe ndugu yuko bold kuliko hao wanafiki wengi ambao kazi yao ni kusifia hata mapungufu,tuseme ukweli Sita utamulinganisha na Wassira au yule muuza nyumba Magufuli au huyo sijui anyedai vichenji Membe.Ninani katika baraza la mawaziri mwenye ubavu wa kuikosea serikali ya kikwete naye akiwa humo humo kama si Sita pekee,hao wengine wapo kwa ajili ya kuangalia matumbo yao ,aheri ya Sita anasema hiki ni kijiko na sio sepetu,je mtu kama wassira ana jeuri hiyo(nimumtaja sana wassira sababu yeye ndio veterani katika hiyo kabineti kaanzia enzi za Kambarage ,akaenda upinzani NJAA ilipomzidi akarudi CCM ameufyata mkia ,sasa mtu kama huyu utamtegemea aiseme serikali atakula wapi)
Ninanchonpendea Sita ni kusema bila kuogopa,hawa akina Sita ndio wale vijana machachali wa mwanzoni kusomea sheria chuo kikuu ,wanasheria hao kama akina marehemu Kolimba,Warioba ni tofauti na wanasheria wa kizazi hiki cha wanasheria wapenda njuruku ambao wako tayari hata kuuza nchi na kuwapa mateso wananchi wao kwa kuandika hiyo mikata ya kiufisadi.Sita ni jembe ndugu yuko bold kuliko hao wanafiki wengi ambao kazi yao ni kusifia hata mapungufu,tuseme ukweli Sita utamulinganisha na Wassira au yule muuza nyumba Magufuli au huyo sijui anyedai vichenji Membe.Ninani katika baraza la mawaziri mwenye ubavu wa kuikosea serikali ya kikwete naye akiwa humo humo kama si Sita pekee,hao wengine wapo kwa ajili ya kuangalia matumbo yao ,aheri ya Sita anasema hiki ni kijiko na sio sepetu,je mtu kama wassira ana jeuri hiyo(nimumtaja sana wassira sababu yeye ndio veterani katika hiyo kabineti kaanzia enzi za Kambarage ,akaenda upinzani NJAA ilipomzidi akarudi CCM ameufyata mkia ,sasa mtu kama huyu utamtegemea aiseme serikali atakula wapi)
Akae hukohuko hakuna anaemhitaji ila akae jonjo wasijemlambisha sumu.
Tanzania Daima ni gazeti la Chadema hilo kwahiyo inawezekana walimwelewa vibaya. Alichomaanisha Sitta ni kuwa hawezi kuhama CCM labda akiahidiwa nafasi nyingine na chama kingine.
|
| |
|
Duh, kweli siasa tamu. anaweza kuanzisha tena CCJ coz hakuna chama hai sasaivi kitakachompokea. labda CUF
Kwa kauli hiyo ni dhahiri jamaa yuko tayari kuhama chama wakati wowote ili mradi ataahidiwa ulaji (nafasi nyingine).Inaonekana sasa Sitta anampango wa kukihama CCM. Gazeti za leo la Tanzania daima limemkariri akisema kuwa hivi sasa hana mpango wa kuhama CCM: Kwa maneno yake: Kwa sasa sina mpango huo wa kuhama, labda wananchi watake nichukue nafasi nyingine, alisema Sitta..
Tanzania Daima ni gazeti la Chadema hilo kwahiyo inawezekana walimwelewa vibaya. Alichomaanisha Sitta ni kuwa hawezi kuhama CCM labda akiahidiwa nafasi nyingine na chama kingine.
Inaonekana sasa Sitta anampango wa kukihama CCM. Gazeti za leo la Tanzania daima limemkariri akisema kuwa hivi sasa hana mpango wa kuhama CCM: Kwa maneno yake: Kwa sasa sina mpango huo wa kuhama, labda wananchi watake nichukue nafasi nyingine, alisema Sitta.
Hivyo 'nafasi nyingine' anayoisema yamkini ni URAIS. Kwa kauli hii. Ni dhahiri huyu jamaa atahama chama. Hivi sasa anapima upepo tu.