chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
kweli ukifunika mavi usidhani na harufu utaiziba, aibu kwa teh President
Kuna watu wanataka kuushona muungano kwa kamba za kudu, sasa wenyewe hawautaki!
Kama Zanzibar bado ni nchi hata baada ya Muungano, Muungano unasaidia nini!?
kweli ukifunika mavi usidhani na harufu utaiziba, aibu kwa teh President
kilichobaki ni jiti tu magaddafini, ndipo watatia akiliHawa wazanzibar wanachonikera ni unafiki mkubwa walionao.
Wakija huku wanauunga mkono muungano ili kuibishia cdm, wakiwa kwao wanawaunga mkono cdm.
Vigeugeu hawa. Kudadeki zao.