BAK, wakati mwingine tunapotoka kutaka kila kitu JK.Zitto kasema anawajua kwa nini tusimshinikize yeye awataje...hapo ndipo itakua rahisi kuishinikiza serikali iwaburuze mahakamani.Unakumbuka Slaa alivyo shusha mzigo mwembe yanga?Nini Zitto anatuletea homa za vipindi tuJW ashinikizwe awataje hakuna sababu yoyote ya kuwakingia vifua mafisadi hawa.