Mi nawashangaa sana ninyi watu, sasa mnataka akae ili kimya hela zilipwe kwa hao dowans? at least yeye anajitokeza hadharani kupinga hayo malipo, ninyi mnaosema hajafanya kitu mmefanya nini, au mmeshakubali deni lilipwe? Mtu akisema kitu chenye manufaa, hata kama ni kwa kutafuta popularity anapaswa kuungwa mkono, maana mwisho wa siku tunachotaka ni maendeleo katika taifa letu.
Na ni nani kawaambia kwamba ukiwa CCM ni marafuku kukosoa makosa ya CCM? Ili tuendelee tupaswa kuondokana na hizi itikadi za kung'ang'ania vyama na tuangalie zaidi jititihada katika kuleta maendeleo, maanake sasa naona watu wanasahau udui yetu ni nani, siyo Sita mnaemshambulia, ni DOWANS wanaotaka kuiba pesa zetu.
Pesa walizokopa kuendeshea uchaguzi wa 2005 kwa (DOWANS)-Mbunge Mstaafu wa Igunga kama wanavyomwita(Rostam) hazijarudi, sasa watanzania wote tunawajibika kulipa mikopo ya chama kimoja ambacho kimetuletea hasara ya kuendelea kwa miaka yote kilipokuwa madarakani tangu utaifishaji wa mali, vita vya Nyerere na Uganda, sasa mafuta na gas kupanda bei huku tukihimizwa kuhifadhi misitu etc...Huwezi kupambana na wezi walioko ndani ya chama chako!!
Huu ni usanii waTZ wanataka kuonyeshwa ili imani yao na chama isipotee...
Pambana na adui ukiwa upande wake wa pili!!!
tulichogundua ni kwamba Sitta hachukii ufisadi bali anawachukia Mapacha watatu kwa sababu za 2015Mi nawashangaa sana ninyi watu, sasa mnataka akae ili kimya hela zilipwe kwa hao dowans? at least yeye anajitokeza hadharani kupinga hayo malipo, ninyi mnaosema hajafanya kitu mmefanya nini, au mmeshakubali deni lilipwe? Mtu akisema kitu chenye manufaa, hata kama ni kwa kutafuta popularity anapaswa kuungwa mkono, maana mwisho wa siku tunachotaka ni maendeleo katika taifa letu.
Na ni nani kawaambia kwamba ukiwa CCM ni marafuku kukosoa makosa ya CCM? Ili tuendelee tupaswa kuondokana na hizi itikadi za kung'ang'ania vyama na tuangalie zaidi jititihada katika kuleta maendeleo, maanake sasa naona watu wanasahau udui yetu ni nani, siyo Sita mnaemshambulia, ni DOWANS wanaotaka kuiba pesa zetu.
Mhe. Sitta kwa kweli umeongea mengi, je unatushauri watanzania tufanye nini katika hili au tu unaongea sana ili tukuone kama nawe ni mmoja wetu sisi mnaotuibia????
Ningekuelewa sana kama ungeamua kuonesha ni jinsi gani hili suala linakukera kwa kujiuzuru ktk nafasi yako mana kwa maneno yako ni kama ushaishauri serikali sana tu ndani ya vikao vyenu ila serikali inaonyesha kutokukuelewa na ndo mana umeamua kufunguka kwa wananchi. Bila kufanya hivyo mzee unaqualify kuitwa Mnafki.
@Mzee kipara, tafakari hii; Sita na akina mwakyembe wanajua walimuokoa nani kwa kuficha mambo muhimu ktk issue ya richmond, sita anawajua wenye dowans watakaolipwa hela hizo, sita anajua kuwa kama wakati ule wangelipasua jipu lote la richmond na kulitoa tusingeona huu utumbo wa sasa... Leo hii bila aibu anasema kila mzalendo 'alaani' tukishalaani ndo iweje???? Sita na wenzake wana deni kubwa kwa Taifa hili.. Atuwekee wazi siri walizotuficha wakati ule.
Nakwambia wazi labda kama na wewe gazeti lako hilo ni la kifisadi lakini sisi Dowans hatukuwapa mkataba bali walirithi wizi wa kampuni hewa, hivyo hatuwezi kubebesha wananchi matatizo ya majizi halafu tukashangilia kuibiwa, alisema Sitta kwa hasira.
Sitta, maarufu kama Spika wa Kasi na Viwango, katika Bunge lililopita alisimama imara pamoja na baadhi ya wabunge waliojipambanua kama wapambanaji wa ufisadi kupinga Kampuni hewa ya Richmond (sasa Dowans) na kuishinikiza serikali ivunje mkataba huo.
Akifafanua zaidi, alisema kuwa Watanzania wanapaswa kuwa na uzalendo wa kulipigania taifa lao badala ya kukatishwa tamaa kwa kutishwa kuwa Dowans lazima ilipwe. Hivyo, alidai kuwa mapambano ya kupinga malipo hayo yasifanyike bado yanaendelea.
Kwanza nikuhakikishie huu si mwisho wa mapambano Dowans kulipwa ni sawa na kuhalalisha ushenzi wa majizi hayo hatuwezi kushangilia, nitapinga hadi mwisho unanielewa, hatuwezi kulipa wezi, alisisitiza Sitta na kukata simu.ICC iliitia hatiani Tanesco kwa kosa la kuvunja mkataba na Dowans iliyokuwa ikitetewa na wakili wa kimataifa Kennedy Fungamtama na ikaiamuru iilipe tuzo hiyo na riba ya asilimia 7.5.
it seems humfaham SITAKwa hili nakuunga mkono Mheshimiwa 6,
Huu ndo uzalendo tunaoutaka sio tukubali tuu kila kitu kisa eti waziri husika ni wa CCM.
Kwenye suala linalohusu maslahi ya nchi lazima tuache kiuanachama na ushabiki wa chama na tutetee maslahi ya nnchi kwanza (huu ndo ujasiri tunaoutaka).
Sio kuteteana/kulindana tuu huku tukizidi kuangamiza uchumi wetu na kunufaisha matumbo wachache.
Kaza msuli mkuu...Mwenyezi Mungu akubariki na aendelee kukupa ujasiri na uzalendo wa dhati kama huo.[/COLOR][/COLOR]
Huwezi kupambana na wezi walioko ndani ya chama chako!!
Huu ni usanii waTZ wanataka kuonyeshwa ili imani yao na chama isipotee...
Pambana na adui ukiwa upande wake wa pili!!!
Maria we hujaelewa nini?anachokaa ni malipo kwani yanaenda kwa wezi, richmond ilishasemwa ni kampuni feki, sasa ufeki unaondoka kurithisha mkataba kwa dowans?
Mapacha watatu wapi na kama wanahusika basi, kinachopiganiwa hapa ni hoja na si ushabiki, ka una hoja yenye mashiko then poa, lakini kuja na post zako za ushabiki hapa si mahala pake dada, hawa niwezi na haya yalisemwa na ucgunguzi ulifanywa, sasa tunamlipa nani?nadhani kwenye ujenzi wa nchi lazima tuwe kitu kimoja, tujibizane kwa hoja zenye mantiki na si ushabiki!
Sitta ni speaker ambaye kwenye kizazi chetu bado sijamuona kama yeye, Tanzania ukiwa muwazi na kutaka mambo yajadiliwe kwa uwazi basi unakuwa adui wa watu, na hiyo lazima itokee kwa sababu sisi wote si watu safi, na sita ni nani afanya kazi apendwe na kila mtu?
Wazalendo tu ndo wanaweza kusema mazuri aliyoyafanya!kila mtu ana mazuri na mabaya yake, katika hili mhe, sita nakupongeza na usife moyo!kuwa speaker uanyajua mengi ambayao sisi hatuyajui, unaposema hivyo mimi nakiri kuwa richmond ni kampuni tapeli!
mimi sileti ushabiki na kama ni ushabiki mimi nilikuwa kundi la SITTA
kinachoniudhi ni namna alivyolimaliza swala hili bungeni kiujanjaujanja (sio kwamba naunga mkono malipo ila siamin katika uzalendo wa SITA)
pia awali nilidhani SITA ni mzalendo lakini kwa mambo aliyoyafanya mwishoni wa 2010 mpaka leo SITA anastahili adhabu kutoka kwa WATANZANIA
nikuulize kidogo...hivu unadhani SITA anaongozwa na uzalendo au ni kuzidiwa mgao/harakati 2015 na sasa anataka watu tumwonee huruma kwa kujifanya anatutetea?? yeye alikuwa spika kwa nini hakutumia rungu kipindi kile kuuwa dowans?????
Huwezi kupambana na wezi walioko ndani ya chama chako!!
Huu ni usanii waTZ wanataka kuonyeshwa ili imani yao na chama isipotee...
Pambana na adui ukiwa upande wake wa pili!!!