Sitta atakumbukwa kwa lipi Urambo?

Sitta ni pandikizi a jk lililotumika kuwaengua wanamtandao wenzake kama vile RA na EL!!
 
Mkuu, Samwel Sitta amefanikiwa kujenga ofisi ya Spika huko Urambo. Hii ni kumbukumbu kubwa sana kwa watu wa Urambo kwa kuwa hata Spika Makinda nadhani atakuwa akiitumia hiyo ofisi ya Urambo, bila shaka.

six is a bloody useless...hana lolote tangible kwa maslahi na faida ya Urambo na tabora kwa ujumla ambalo amelifanya katika miaka yake yote ya ubunge/uwaziri tangu mwalimu akiongoza nchi mpaka sasa ni wanafunzi.
 
kwa kweli ile wilaya hipo mahututi wakuu! nimetembelea pale mwaka jana watu wapo hoi bin taabani! Hakuna access yoyote na barabara nzuri,huyo mzee aachie watu wengine wajaribu,...

ukumuke barabara inaanza jengwa sasa, mkandarasi yupo saiti sasa. ukubuke Tabora nzina ipo hoi
 
Sawia. Sasa kaa ni hivo kwanini tusiondoe cheo na hivyo gharama za bunge na kuwapelekea wananchi maendeleo?

Nina wasi wasi na uelewa wako kuhusu mgawanyo wa kazi wa mihimili ya dola. Ukumbuke kazi ya mbunge ni kutunga sheria,kuisimamia serikali, kuwakilisha wananchi wa jimbo lake katika mhimili wa bunge nk. Kujenga barabara nk ni kazi ya serikali yaani administrative organ. Kama Urambo au Tabora haijendelea tatizo sio Sita ni CCM na serikali yake

Kuna umuhumu wa hawa wanaojiita Great Thinkers kurudishwa darasani kusoma elimu ya Uraia
 
atakumbukwa kwa kuwa mbunge kwa muda mrefu.na kwa kuwa spika.make hiyo nayo ni kumbukumbu.kumbukumbu sio lazima ufanye mazuri tuu.unaweza ukakumbukwa hata kwa negative things! kwani serikali ya ccm itakumbukwa kwa lipi? ukipata jibu nadhani utakuwa umepata na jibu la swali husika.
 
Nina wasi wasi na uelewa wako kuhusu mgawanyo wa kazi wa mihimili ya dola. Ukumbuke kazi ya mbunge ni kutunga sheria,kuisimamia serikali, kuwakilisha wananchi wa jimbo lake katika mhimili wa bunge nk. Kujenga barabara nk ni kazi ya serikali yaani administrative organ. Kama Urambo au Tabora haijendelea tatizo sio Sita ni CCM na serikali yake

Kuna umuhumu wa hawa wanaojiita Great Thinkers kurudishwa darasani kusoma elimu ya Uraia
Dude u sound preachy..na hujui kuwa uelewa wangu ni beyond your classic conventional knowledge za kukariri vitabuni. I have been to bunge sessions, nimefanya kazi serikalini na kwene agency zake, na nimekuwa exposed kwene maarifa mengi kuhusu jucial system na sarakasi zake na naeza kukuhakikishia kuwa hiyo mihimili ktk nchi kaa Tz ni kiinimacho na upotevu wa wakati na fedha zetu wavuja jasho. Sitaongea mengi, just know that, na unaeza kujionea mwenyewe kwa macho yako kama upo Tz kama hii mihimili ina maana yeyote.
 
Nina wasi wasi na uelewa wako kuhusu mgawanyo wa kazi wa mihimili ya dola. Ukumbuke kazi ya mbunge ni kutunga sheria,kuisimamia serikali, kuwakilisha wananchi wa jimbo lake katika mhimili wa bunge nk. Kujenga barabara nk ni kazi ya serikali yaani administrative organ. Kama Urambo au Tabora haijendelea tatizo sio Sita ni CCM na serikali yake

Kuna umuhumu wa hawa wanaojiita Great Thinkers kurudishwa darasani kusoma elimu ya Uraia

nafikiri elimu ya uraia ni muhimu katika kuchambua mambo kama haya..mbunge kisheria na kikatiba ni mtunga sheria kwa nchi nyingine anaweza kushwaishi sheria za nchi kwa kiasi fulani zikawa na uwiano na maslahi ya watu wa jimbo lake..shughuli za kimaendeleo ni jukumu la serikali kuu (executive branch)..mbunge anaweza kutambua maeneo yanayohitaji usisitizi wa kimaendeleo kama barabara, maji, shule, nk na akawasilisha kwa wizara husika na yeye akawa mfutialiaji tu sasa kama wakijenga au la hiyo siyo lawama ya mbunge
 
Mkuu, Samwel Sitta amefanikiwa kujenga ofisi ya Spika huko Urambo. Hii ni kumbukumbu kubwa sana kwa watu wa Urambo kwa kuwa hata Spika Makinda nadhani atakuwa akiitumia hiyo ofisi ya Urambo, bila shaka.

Matumizi mabaya ya ofisi ya umma haya
Hivi Spika Msekwa naye angejenga kule Ukerewe ingekuwaje?
 
Back
Top Bottom