Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 166
Ndugu zangu wa URAMBO ni mambo gani Mh SAMWEL SITTA amewafanyiwa katika vipindi vyake vyote vya ubunge ambayo kamwe hamtayasahau? je hapo mlipo kimaendeleo mnastahili?
Sawia. Sasa kaa ni hivo kwanini tusiondoe cheo na hivyo gharama za bunge na kuwapelekea wananchi maendeleo?Maendeleo huletwa na serikali iliyopo madarakani sio kazi ya mbunge,
Hata kama Lowassa kakutuma umwage hii haja kubwa jamvini kamwambie kuwa Lowassa hatumtaki kwa sababu ya UBAGUZI wake wa kidini. Atafanya taifa hili tuliloishi kwa upendo tugawanyike kwa misingi ya kidini. Mwambie hatumtaki
Mkuu tufahamishe na sie vilaza tusiojua jinsi mbunge anavyoleta maendeleo na sio serikaliSawia. Sasa kaa ni hivo kwanini tusiondoe cheo na hivyo gharama za bunge na kuwapelekea wananchi maendeleo?