Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
!Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ametaka kuanzishwa kwa mjadala ndani ya Serikali wa kuwaadhibu viongozi waliolisababishia Taifa mgawo wa umeme ambao amedai kuwa unaifedhehesha nchi.
Sitta ameyasema hayo jana wakati akizungumza kwenye kongamano la vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Vyuo Vikuu vilivyopo mkoani Mbeya.
Kuna watu ambao wamefaidika sana kupitia matumbo yao kwa kupitia nembo ya CCM, wamekuwa mamilionea lakini hawana adabu, hawashukuru, wanazidi kutuzamisha, alisema Sitta!
Mjadala.
SItta ni msafi kuliko kiongozi yoyote ndani ya CCM?
.
Sitta ameyasema hayo jana wakati akizungumza kwenye kongamano la vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Vyuo Vikuu vilivyopo mkoani Mbeya.
Kuna watu ambao wamefaidika sana kupitia matumbo yao kwa kupitia nembo ya CCM, wamekuwa mamilionea lakini hawana adabu, hawashukuru, wanazidi kutuzamisha, alisema Sitta!
Mjadala.
SItta ni msafi kuliko kiongozi yoyote ndani ya CCM?
.