NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Waheshimiwa ndugu wana jf,leo katika kipindi cha dk 45 itv sitta atakuwa anafanya mahojiano na itv hususani juu ya suala la Dowans na sasa ndo unaanza,peoples.....
Waheshimiwa ndugu wana jf,leo katika kipindi cha dk 45 itv sitta atakuwa anafanya mahojiano na itv hususani juu ya suala la Dowans na sasa ndo unaanza,peoples.....
Tayari Keshaanza mahojiano .... Anasisitiza upatikanaji wa haki kwa watanzania
Huyu Sitta, mnafaki sana aeleweki katika suala la Dowans!
wap?ritz n mzalendo80 bado mko gizan.mmewaacha wanafiki wengine mnamuweka sitta.aibu iwe kwenu
Waheshimiwa ndugu wana jf,leo katika kipindi cha dk 45 itv sitta atakuwa anafanya mahojiano na itv hususani juu ya suala la Dowans na sasa ndo unaanza,peoples.....
huyu sitta, mnafaki sana aeleweki katika suala la dowans!
Nini amesema mpaka sasa
Anataftia acceralation ya kuingiza dowans hapo! Sio unakurupuka na dowans!