Tatizo ni kwamba watu hawajmuelewa Mpendazoe, yeye hajasema kuwa tatizo ni kuanzisha CCJ , yeye anasema kuwa hao watu sita walimsaliti. kwa maana nikwamba walifyata mkia baada ya kitu fulani!
Kuzima kibabe hoja ya richmond ndo kazi nzuri!! au kumtishia dr wa kuweli atamwitia polisi ili asitwambie wizi wa epa ndo kazi nzuri ya six!! Au ni kuzuia hoja ya meremeta isijadiliwe bungeni ndo kazi nzuri unayotwambia!! Shwaini......!!Kazi nzuri aliyoifanya Sita akiwa Spika haina ubishi kwa wapenda uwazi, ukweli na maendeleo. Ametuamsha na matunda yake yanaonekana na anayebisha siyo kwamba hajui bali ni mbinafsi tu, period. Kila binadamu ana mapungufu yake kwani hakuna binadamu mwenye sifa ya Malaika.
I know why mate!!!!!! hahaha ahaha ahaha!
sitta atakumbukwa kwa kuwa spika bora kabisa tangu tupate uhuru na kama si kumaliza sakata la richmond sivyo angrstahili kuingia kwenye kundi la viongozi watatu bora kabisa nchi hii tangu tupate uhuruKazi nzuri aliyoifanya Sita akiwa Spika haina ubishi kwa wapenda uwazi, ukweli na maendeleo. Ametuamsha na matunda yake yanaonekana na anayebisha siyo kwamba hajui bali ni mbinafsi tu, period. Kila binadamu ana mapungufu yake kwani hakuna binadamu mwenye sifa ya Malaika.
Hivi na aliyekuwa mwenyekiti wa CCj baada ya kurudia kulivaa gamba kaishia wapi?
Sitta amekuwa muungwana zaidi na mkweli kimsingi Mpendazoe anaonge hii hoja haisaidi chochote chama
CDM mfikirie mara mbili kuhusu Mpendazoe, huyu ni mropokaji ipo siku atakuja kuwaumbua kwani siku yeyote atakimbia CDM na kujiunga na chama kingine. Nawashangaa mnampa kipaza sauti na kuropoka maneno mbovu mbofu jukwaani. Siasa za kusema watu binafsi mzikomeshe muanze kutuambia ni namna gani mtatuondoa watanzania katika lindi la umaskini.
CDM mfikirie mara mbili kuhusu Mpendazoe, huyu ni mropokaji ipo siku atakuja kuwaumbua kwani siku yeyote atakimbia CDM na kujiunga na chama kingine. Nawashangaa mnampa kipaza sauti na kuropoka maneno mbovu mbofu jukwaani. Siasa za kusema watu binafsi mzikomeshe muanze kutuambia ni namna gani mtatuondoa watanzania katika lindi la umaskini.