Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,287
- 483
Mubashara
Wewe umejuaje kama inafaa kuweka mnala? Kwani ilala hakuna minala?
Hayo ndyo majibu ya maswali niliyokuuliza?Poor Minds has nothing to do except criticism. Akili za Mende kujisifia kulikomoa kabati kwa kulipiga Kikumbo.
Wewe ni mpumbavu sana au njaa imekutafuna hadi ubongo, BTS Tower zinawekwa sehemu kutokana na signal zitakapokubali ndipo hapo kampuni inamfuata yenyewe mwenye eneo na kuzungumza naye.Poor Minds has nothing to do except criticism. Akili za Mende kujisifia kulikomoa kabati kwa kulipiga Kikumbo.
Tena mjiandae kunyang'anywa hivyo viwanja, wakati mnajimilikisha kijanjajanja mlijiona mmewin kumbe hata sumni ya kujenga hamna, tunafanya msako Buyuni block zote nyinyi ndio mnaotuwekea mapori.Site ya Kujenga Mnara wa simu(available for LEASE) Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power)
Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site.
Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili ya Ku-service Mnara.
Site iko na Ukubwa wa Sqmtr: 1200 with a title deed.
Site iko Ilala Buyuni, Chanika.
Kwa Maelezo zaidi, naomba tuwasiliane PM
Gharama: Maelewano.
Picha zinapatikana kwa Whatsapp.
Karibuni.
0715-240140
Ni viwanja vya serikali vya kujenga nyumba, hawa maboya wamechukuwa viwanja wahitaji wa kweli wamelosa viwanja, sasa pesa za kujenga hawana wanaweweseka.Huu ndoo mwisho wa watu wasio na shule kuchezea hela. Kwahiyo umehodhi eneo kwa malengo ya kukodisha wajenga minara. Ndoo mlishauliana enzi hizo. Duh, lima matikiti maji wewe
Wewe umejuaje kama inafaa kuweka mnala? Kwani ilala hakuna minala?
Site ya Kujenga Mnara wa simu(available for LEASE) Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power)
Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site.
Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili ya Ku-service Mnara.
Site iko na Ukubwa wa Sqmtr: 1200 with a title deed.
Site iko Ilala Buyuni, Chanika.
Kwa Maelezo zaidi, naomba tuwasiliane PM
Gharama: Maelewano.
Picha zinapatikana kwa Whatsapp.
Karibuni.
0715-240140