feis buku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 2,342
- 676
mmmh! Dunia kigeugeu! Pole julieth!nilipo mfumania mwenzangu akiwa na mwenzake wa jinsia moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh! Dunia kigeugeu! Pole julieth!nilipo mfumania mwenzangu akiwa na mwenzake wa jinsia moja
pole saana mpendwa,mungu ampumzishe baba yetu kwa amanisiku baba yangu mzazi alipofariki. Ilikuwa tar 5 january 2006. Alituita watoto wake wote ktk xmas tukasherehekea, baada ya new year akatwambia kila mtu arudi kwake. Nilibaki. Tar 5 saa moja usiku nilishuhudia akiwa ktk comma, miguu yake ilikuwa ya baridi. Kufika hospt hali ilizidi kuwa mbaya, hadi anakata roho nashuhudia. Kila nionapo msiba popote, scene yote ya kifo cha baba inanijia.r.i.p baba.
ahhh! Mdada ulikua unaota nn!!!mie nilifurahi sana nillipoona matokeo yangu ya form 6,coz wakati nasubiri pepa ya mwisho nililala nikawaomba wenzangu waniamshe mda ukufika wakanisahau,niliposhtuka ilikuwa saa nane na nusu na mtihani ulianza saa nane kamili,nilikurupuka na shimizi na sketi na soksi miguun bila viatu wala,shati nikiwa nalia kwa sauti huku nikielekea chumba cha mtihani nikikimbia,dah namshukuru mungu nikaruhusiwa kufanya mtihani na nikafaulu vizuri sana.
eeh!! Siku yangu umeifanya iwe nzuri kongosho!!!siwezi sahau darasa la tatu, imla ya sadiki na sikiri, kalamu yangu ikagoma kuandika halafu mwalimu alikuwa mkali kama simba.bahati nilikuwa mwembamba ingekuwa watoto hawa wa sasa wanaojua stress siku hiyo wangeita ambulensi maana hiyo presha haikiwa ya kawaida.thank god akamwambia monita akusanye madaftari, nikapata muda wa kukopi.
mkuu kumbe dhambi ulianza zamzni???sintosahau siku niliyomtia jirani yetu mimba nikiwa na umri wa miaka 12,aisee lilikuwa bonge la zengwe uswahilini kwetu.nalog off
Siku nilipouliza kitendawili shuleni mbele ya mwalimu mdomo wa chupa umefanana na nini then nikatoa jibu aliendani nilikula mboko sana.
Nilipo mfumania mwenzangu akiwa na mwenzake wa jinsia moja
Mara ya kwanza kufanya sex.
Nikiwa darasa la saba mwalimu akawa anafundisha nishati. Akasema mwanga ni nishati inayotuwezesha kuona, nikamuuliza giza ni nini? Nilikula fimbo za kutosha.
Nikiwa sekondari nilimuuliza mwalimu mkuu, dagaa kwa kiingereza anaitwaje, nikapewa suspension ya mwezi mzima.
Walimu wa shule za upe na za kata hatari kabisa
Washawasha umeniacha hoi 12 years ushaanza kujingonolaizi haroooooooooooooooo.!!!!sintosahau siku niliyomtia jirani yetu mimba nikiwa na umri wa miaka 12,aisee lilikuwa bonge la zengwe uswahilini kwetu.Nalog off
Sintoweza kusahau siku mtoto wangu wa kwanza my lovely doughter alipofariki. Dah! Ee Mwenyez mungu mpumzishe kwa amani!
Umenikumbusha mmoja aliulizwa mtoto anapozaliwa tu anaanza kula nini? Akajibu Bokoboko
Nikiwa darasa la saba mwalimu akawa anafundisha nishati. Akasema mwanga ni nishati inayotuwezesha kuona, nikamuuliza giza ni nini? Nilikula fimbo za kutosha.
Nikiwa sekondari nilimuuliza mwalimu mkuu, dagaa kwa kiingereza anaitwaje, nikapewa suspension ya mwezi mzima.
Walimu wa shule za upe na za kata hatari kabisa