Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
mwenzako ndo alikuwa ana Devidiwa Cameruniwa?
Haha haha haha Buji Buji you are MAD!!!!
mwenzako ndo alikuwa ana Devidiwa Cameruniwa?
Mi naomba nikuPM kitu kilichonipata ambacho siwezi kukiweka hapa hadharani...Ni cha kushangaza na utata mno!
the death of my beloved father...nakumbuka siku, saa, tarehe, sehemu na tukio lenyewe and the worse part is i saw how the death happened.
Nilipo mfumania mwenzangu akiwa na mwenzake wa jinsia moja
Julieth are you serious ?mmmh pole sana kwa hili...lol ikawaje tena MS
naomba uni cc hiyo PM.....
Da acha tu mkuu ni nomaaa usiombeee 2007 I can't 4get dat year
Atu PM wooote.......
Shemegi yangu si umeona mwenyewe mambo hayo eeh?PJ my shemeji katika siku nilizocheka ..hahahahaha nitarudi baadae tupange safari ya home dec.
Bujibuji na vituko vyako ...te te tehh hebu niwekee kingine cha ukubwani bathi
We nae, si unadilishe hilo gauni!:biggrin:...Kila siku hilo hilo tu?..Unapenda sana mshono wa debe eeh?
Aisee, hii kali!nakwambia sili leo mpaka uniPM huo mkasa....
shemegi yangu si umeona mwenyewe mambo hayo eeh?
Ilikuwa ni noma ati!...ningezubaa siku hiyo huenda hata nisingekuwa hapa kwenye kiti cha kunesanesa!
Dah! kuna siku nilikuwa na ka date enzi zileeee, nikapiga polish kibuti fresh halaf nikakiweka dirishani ili kipoteze harufu ya kiwi, dah! kuna mzembe aliondoka navyo, natoka bafu nishasoap soap napiga miluzi ya kusherehekea ki date, naangalia dirishani vibuti havipo ikabidi niahirishe date. Alaaniwe jamaa aloiba vibuti vyangu, tusemeni amen
Ntakurudishia ndula zako, mi mwenyewe nilikuwa na kideti, halafu nikicheki chinz chachacha imekatika katika, huku nimeishikilizia na waya, huku kwingine kuna uzi wa gunia, ulifikiri ningewezaje kumdaka kishtobe kwa hali hiyo?
Kishtobe mwenyewe msomi, kamaliza form 4?