Sitakuwa jamvini kwa muda!

Genekai

R I P
Feb 9, 2010
12,517
4,987
Wapendwa wana JF, Niwataarifu tu kuwa sitakuwa hewani hapa jamvini kwa muda wa siku chache.

Hii ni kutokana na hizi sikukuu tatu za pasaka tunakuwa busy sana jamani. Nitarudi jumatatu kama mchana hivi.

Nitalikosa jamvi na wanajamvi, nawapenda sana wote tunaopingana na tunaosupportiana. Wiselady mamangu nitakukosa sana tu, kupeng'e, pakajimmy my bro, invisible mwalimu wa nidhamu, melo my bro, rev fr masanilo najua utakuwa busy km mimi, mariaroza dadangu mpendwa, maty best friend, mzizi mkavu my buddy, Dena Amsi hata facebook nimekugoogle bila mafanikio, ex paster, gavana my friend, Babu ataka kusema mzee wa busara.
Mzee mwanakijiji, na wengine wengi nawapenda sana!

Mbarikiwe sana. Mungu ni mwema na anatutia nguvu kwasababu ana haja nasi bila kujali tofauti zetu kiimani na kimatendo!

Genekai!
 
Wapendwa wana JF, Niwataarifu tu kuwa sitakuwa hewani hapa jamvini kwa muda wa siku chache.

Hii ni kutokana na hizi sikukuu tatu za pasaka tunakuwa busy sana jamani. Nitarudi jumatatu kama mchana hivi.

Nitalikosa jamvi na wanajamvi, nawapenda sana wote tunaopingana na tunaosupportiana. Wiselady mamangu nitakukosa sana tu, kupeng'e, pakajimmy my bro, invisible mwalimu wa nidhamu, melo my bro, rev fr masanilo najua utakuwa busy km mimi, mariaroza dadangu mpendwa, maty best friend, mzizi mkavu my buddy, Dena Amsi hata facebook nimekugoogle bila mafanikio, ex paster, gavana my friend, Babu ataka kusema mzee wa busara.
Mzee mwanakijiji, na wengine wengi nawapenda sana!

Mbarikiwe sana. Mungu ni mwema na anatutia nguvu kwasababu ana haja nasi bila kujali tofauti zetu kiimani na kimatendo!

Genekai!
Je ushapata mbuzi au kondoo wa kuchinja Pasaka?

Nakutakia Mapumziko ya amani mkuu.
 
14tttv5.jpg





I will mic you too G!




 

Similar Discussions

Back
Top Bottom