Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
- Thread starter
- #41
[/I][I said:Mkandara;521759]NDIVYO TULIVYO - jamani, kaaazi kweli kweli!
Kwani mkuu wewe hutaki tuwe hivi tulivyo?
[/I][I said:Mkandara;521759]NDIVYO TULIVYO - jamani, kaaazi kweli kweli!
Buswelu ulimaanisha CUF au?
Kuna thread nyingine inayozungumzia "NATAKA" humu ndani vile vile. Hii ina maana huwezi "kutaka" kila kitu kama vile ambavyo huwezi pia kuwa "hutaki" kila kitu. Jaribu kuzifatilia zote ndipo uone ni wapi pa kutaka na wapi pa kukataa!Sitaki neno Mkuu (Mkulu) liendelee kutumika humu ndani ! Ni uborongaji wa lugha; Sitaki kusema SITAKI!! kwa vile ni neno hasi NATAKA kufikiria mambo Chanya !
Nataka Nchi yangu Tanzania iwe na sheria ya Uraia mbili kwa Wale waliozaliwa, au wazazi wa TZ wanaoshikilia Uraia wa nchi nyingine.
Nataka Tanzania tuwe na Solar Power Plant ! ili tuboreshe uwezo wa umeme wetu kwa kutumia jua la Utosi tulilojaliwa kama rasilimali !
Bila Umeme hakuna Maendeleo ,Mtandao, Kompyuta, Maji, Kiyoyozi wala TV .
Nataka tuwe na viongozi wenye uchu wa maendeleo na uzalendo badala ya kuendeleza ubinafsi unafiki, tamaa na upumbavu wa kuganga njaa zao wakati Taifa lina didimia.
You can't discuss the solutions without discussing the source of the problems.You can't get to thesource of the problem without discussing the problem. Kujua tatizo ni nini pekee haitoshi. It has to be deeper than that. Kukwepa kuya ongelea matatizo haimaanishi matatizo hayo hayapo. Je uta pangaje mikakati ya kutatua matatizo bila kujadili matatizo hayo? Tunao walipa pesa zetu za kodi ndiyo wali takiwa kufanya hivyo kwa ajili yetu, wao wameshindwa so why not do it ourselves?
Mmmnh! hapo sipo!!!Sitaki mahakama ya kadhi kuja kutokea tz.
Sitaki kuona wanawake wa kiislam wakinyanyaswa
sitaki kuona wabunge wanasinzia bungeni
sitaki kuona albino wakiuawa
sitaki kuona kikwete anachekacheka
sitaki kuona ccm pamoja na nguo zooote za kijani.
sitaku kuona CUF ikiendelea kuendesha udini tz
sitaki kuona CHADEMA wamekaa kimya kuhusu mahakama ya kadhi