Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Hii inaitwa name calling, ni kinyume na sheria na kanuni za JF; akikusoma Paw hapa unaenda Lupango. Usijali, sijam-mention, nimebold tu jina lake. Nikikukosa wewe hapa jamvini nakosa appetaiti ya ugali. Na mimi nisipokula ugali napata minyoo. Na nikipata minyoo sili kitimoto, na nsipokula kitimoto napungukiwa na kinga mwilini kwakuwa kitimoto ni ARV.
jamani, umeona nimemuuliza hapo juu na akakubali mwenyewe; nashukuru kwa kunikumbusha lakini.