Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Wapenzi wa JF, nimeamua kushare nanyi kisa hiki cha ukweli kuhusu yale yaliyonisibu usiku wa kuamkia leo. Nimekuwa na huyu mchumba wangu kwa zaidi ya miaka 2 sasa. Ni kijana msomi, mtanashati anayetokea moja ya mikoa ya kanda ya ziwa. Kwa muda mrefu mchumba amekuwa akiniomba tuonje 'tunda la kati' nikawa namtolea nje kwamba wakati wake bado. Jana usiku mchumba aliniita kwake, nilipofika aliomba kuonja tunda, nami nikaone nisimkatalie ili nami niionje hiyo raha nitakayokutana nayo hapo baadaye akishakuwa hubby wangu.
Cha kusikitisha na ambacho kimenifanya niamue kwamba sitaki tena ni kwamba jamaa linatwanga ovyo ovyo utadhani linafukuzwa. Kwa kweli sikuiona hiyo raha niliyoitegemea hata kidogo. Kibaya zaidi jamaa limening'ata "chakula ya mtoto" hadi kuniachia majeraha makubwa. Asubuhi hii nimeamkia kwenda hospital mwananyamala, daktari amekataa kunitibu anadai hadi niende na PF3. Nimeshindwa jinsi nitakavyoripoti polisi ili niipewe hiyo PF3. Jamani nipeni pole mwenzenu nateseka!
Cha kusikitisha na ambacho kimenifanya niamue kwamba sitaki tena ni kwamba jamaa linatwanga ovyo ovyo utadhani linafukuzwa. Kwa kweli sikuiona hiyo raha niliyoitegemea hata kidogo. Kibaya zaidi jamaa limening'ata "chakula ya mtoto" hadi kuniachia majeraha makubwa. Asubuhi hii nimeamkia kwenda hospital mwananyamala, daktari amekataa kunitibu anadai hadi niende na PF3. Nimeshindwa jinsi nitakavyoripoti polisi ili niipewe hiyo PF3. Jamani nipeni pole mwenzenu nateseka!