Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,445
Nadhani angekuwa anatuambia kabla ya kupima chochote kuwa anatarajia kupimwa a,b,c etc, ili tusubiri majibu ya kila kipimo. Hii ya kuja kutushtukiza na majibu ya vipimo wakati hatukuambiwa kwamba atapimwa, naona haijakaa vizuri. Mtu unaweza kuanza kufikiria kwamba yapo majibu yanayokuja mabaya na hayatangazwi.