Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Ulipaswa kuipeleka jukwaa la wakubwa.
<br /> <br / ulishawah kuwa na gf mwingine kabla na baada ya huyo?&lt;br /&gt; &lt;br / sio kweli na vile vile mimi sio mwanaume suruali wala mchafuzi
<br /> <br / br/labda nikuelewesheni vizuri yaani baada ya kufanya ngono naye basi nilivyokuwa nikimwaza labda ana ki2 cha ziada lakini sivyo basi roho imechafuka kutokana na nilizani kutokuwa hivyo,<span style="font-family: Comic Sans MS">Swali zuri, Mtoa mada toa maelezo ya kutosha ulikutana na nini humo hata kukinai on the spot?</span>
<br /> <br / br/ndiyo nilishawahi kuwa na mwingine&lt;br /&gt; &lt;br / ulishawah kuwa na gf mwingine kabla na baada ya huyo?
Hello jf nilikuwa na glfriend toka january had hiv sasa lakini nilipolala naye ama 2lipo sex naye sina hamu tena ya kumuona hata sim yake siipokei tena sijui ni nini tatizo naomba wanasaikojia mnishauri kuhusu
Tatizo hujui thamani ya mwanamke na wala huruma huna angefanyiwa dada yako ungefurahia?
<br />Hello jf nilikuwa na glfriend toka january had hiv sasa lakini nilipolala naye ama 2lipo sex naye sina hamu tena ya kumuona hata sim yake siipokei tena sijui ni nini tatizo naomba wanasaikojia mnishauri kuhusu
Imaginations na matarajio yako ulikuta tofauti
...Kaka, utamaliza mabucha ...
nyama haitofautiani kiviiiile,
kikubwa ni mapishi... na kupika mtu hufundishwa
unless otherwise...
Nadhani ulipitiwa na methali hii;<br /> <br / br/labda nikuelewesheni vizuri yaani baada ya kufanya ngono naye basi nilivyokuwa nikimwaza labda ana ki2 cha ziada lakini sivyo basi roho imechafuka kutokana na nilizani kutokuwa hivyo,
Hapo kwenye redi nakubaliana na wewe,Kweli kaka...ila kuna after taste nyingine ni ngumu kuzi-handle......
Hata hivyo mshikaji anatakiwa kudeal ny psychology yake asije kujikuta anatanga tanga kama kunguru!!
<br /> <br / br/labda nikuelewesheni vizuri yaani baada ya kufanya ngono naye basi nilivyokuwa nikimwaza labda ana ki2 cha ziada lakini sivyo basi roho imechafuka kutokana na nilizani kutokuwa hivyo,
Hapo kwenye redi nakubaliana na wewe,
halafu ukisha tia timu yeye ndio anakolea zaidi jamaa analohilo
Ajaribu kurekebisha lasivyo atazurula saaana
Lakini Mtu Huwezi jua njia ina madimbwi mpaka upite
Hii inaonesha ushakuwa nao wengi, so ulitaka ku-rate. Inasikitisha sana. Eti hujaona kitu cha ziada, na kama umeshaona vyote una haja gani ya kuendelea kutafuta cha ziada? Ndo ujue kuwa hata ukibadili mabucha, nyama itabaki kuwa ni ileile.Tafuta mke uoe kama umri unaruhusu acha kuwapotezea muda mabinti zetu