harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
JUzi tu nilimfumania live demu mmoja aliyekua demu wangu wa karibu yaani my soulmate
inaniuma ila sijui ni solve vipi
tulikua tunapita kwenye uchochoro fulanai mitaa ya uswahilini mererani wakati tunapita
kuna sauti za migunio zilikua zinatokea kwenye chumba karibu tulipokua tunapita mara
jamaa yangu akachungulia akashtuka alivyoshtuka akanifanya nami nitake kujua
usiende mbio maana nilichokiona naishia hapa .. tuk tuk tuk tuk tuk tuk tuk .......
hayio yalikua mapigo ya moyo maana ni hatari kwa kweli labda niwe nanunua changudoa lakini
vinginevyo sitaki demu.................kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.. aaaaaaaaaaaaaaaaa
nawasilisha kwenu jwana wa jf........................
inaniuma ila sijui ni solve vipi
tulikua tunapita kwenye uchochoro fulanai mitaa ya uswahilini mererani wakati tunapita
kuna sauti za migunio zilikua zinatokea kwenye chumba karibu tulipokua tunapita mara
jamaa yangu akachungulia akashtuka alivyoshtuka akanifanya nami nitake kujua
usiende mbio maana nilichokiona naishia hapa .. tuk tuk tuk tuk tuk tuk tuk .......
hayio yalikua mapigo ya moyo maana ni hatari kwa kweli labda niwe nanunua changudoa lakini
vinginevyo sitaki demu.................kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.. aaaaaaaaaaaaaaaaa
nawasilisha kwenu jwana wa jf........................